DAR ES SALAAM; TIMU ya Bigman FC imetamba kuwa itadhihirisha ukubwa wake kesho watakapocheza na Simba mchezo wa Kombe la ...
Kikosi cha Simba kinatarajia kuondoka Machi 28,2025 kuifuata Al Masry nchini Misri kwa mchezo wao wa robo fainali ya Kombe la ...
WAKATI Simba ikiandaa kaulimbiu mpya kuelekea katika michezo yake miwili ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, iliyopewa jina la 'Hii Tunavuka', ili kutoa hamasa kwa wanachama na mashabiki, w ...
NYOTA wawili muhimu katika vikosi vya Yanga na Simba, kiungo Khalid Aucho na kipa Moussa Camara wameibua hofu katika timu ...
Kwa sasa Yanga wapo kileleni mwa Ligi hiyo kwa alama 49, wakifuatiwa na Simba yenye alama 48 baada ya timu zote kucheza michezo 21. Mara ya mwisho timu hizo zilikutana katika Nusu Fainali ya Kombe ...
Simba nao wamemaliza kikao chao na Wizara ya Utamaduni, Sanaaa na Michezo huku ikikana ajenda ya mchezo dhidi ya Yanga ...
WAKATI kikosi cha timu ya taifa jana kikiwasili Morocco tayari kwa mchezo wa kufuzu kombe la Dunia dhidi ya timu ya taifa ya ...
Timu hizo zinakutana huku Yanga wakiongoza msimamo wa ligi wakiwa na pointi 19 na Simba ipo nafasi ya pili ikiwa imekusanya jumla ya pointi 17 huku kila timu ikiwa imeshacheza mechi saba.
Yanga imeweka ngumu ikisema haitatia timu kwenye mchezo namba 184 dhidi ya Simba ambao uliota mbawa, baada ya kushindwa ...
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Elie Mpanzu amesema anaamini bado hajaonesha uwezo wake wote katika timu hiyo. Mpanzu ...
MASHABIKI wa Simba wanachekelea hatua ya mchezo dhidi ya Yanga kuahirishwa, wanawatambia wenzao wa Yanga, kwamba mechi ...